13.07.2015 Views

Jarida la Kilimo, Aprili

Jarida la Kilimo, Aprili

Jarida la Kilimo, Aprili

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Toleo <strong>la</strong> Sita<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011Waziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe. Mansoor Yussuf Himid wapili kushoto akipata maelezo kuhusukilimo cha vani<strong>la</strong> kutoka kwa mkulima mzoefu wa zao hilo huko katika Kituo Cha Utafiti wa Mazaoya <strong>Kilimo</strong>, Kizimbani.YaliyomoMaoni ya Mhariri/Picha ya Ja<strong>la</strong>da...........................................................................Uk.2Ziara ya Rais wa Zanzibar katika maeneo ya <strong>Kilimo</strong>..............................................Uk.3 - 4Waziri wa <strong>Kilimo</strong> akabidhi vifaa vya kupandishia ng’ombe kwa sindano.................Uk.5Waziri wa <strong>Kilimo</strong> asisitiza utafiti wa mizizi na uhifadhi wa misitu..........................Uk.6Uzalishaji wa muhogo Makombeni Pemba.............................................................Uk.7Matukio katika Picha..........................................................................................Uk.8 - 9Ugawaji wa mbegu za muhogo kwa njia ya vocha...................................................Uk.10Umwagiliaji maji kwa njia ya matone...................................................................Uk.11Uhifadhi wa misitu ya ukanda wa pwani....................................................................12Utunzaji bora wa kuku wa kienyeji.......................................................................Uk.13Upandaji wa minazi ya asili....................................................................................Uk.14Faida za kilimo cha Mapesheni .........................................................................Uk. 15Miradi ya Mfuko wa hifadhi ya Jamii TASAF-II.......................................................Uk.16


<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011WAHARIRI/MAONI/PICHA YA JARIDABodi ya WahaririWashauriAffan O. MaalimJuma Ali JumaDk. Bakar S. AsseidMhariri MkuuDk. Juma M. AkilMsanifu na MhaririMtendajiHashim H. ChandeWahariri WasaidiziMakame M. AbdulrahmanNassor S. MkarafuuOthman A. MaulidNassor S. MohammedMpiga chapaFatma A. JumaMpiga pichaKhamis A. BakariANUWANIWizara ya <strong>Kilimo</strong>,Maliasili - ZanzibarS.L.P. 159Simu: +255 24 2230986Fax: +255 24 2234650E-mail: kilimo@zanlink.comTovuti: kilimoznz.or.tzMAONI YA MHARIRINdugu Wakulima, umuhimu wa kilimo cha mpunga unaonekana wazina viongozi wakuu wa Serikali Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti waBaraza <strong>la</strong> Mapinduzi Mhe. Ali Mohamed Shein, Makamo wa kwanzawa Rais Mhe. Seif Sharif Hamad na Makamo wa pili wa Rais Mhe.Seif Ali Iddi katika siku tofauti walipotembelea mabonde ya mpungayaliyopo katika wi<strong>la</strong>ya na mikoa ya visiwa vya Unguja na Pemba nakujionea wenyewe jinsi kilimo hicho kinavyoendelezwa. Wakati waziara zao viongozi hao walipata fursa ya kuzungumza na wakulimana wafanyakazi wa Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasili na kuweza kujua halihalisi ya kilimo hicho muhimu cha chaku<strong>la</strong> kwa wazanzibari wengi. Nijambo <strong>la</strong> fahari kwetu kuona kuwa viongozi wetu hao licha ya kazi zaowana nyingi wameweza kutembelea sekta ya kilimo na kutilia mkazokilimo hicho na zaidi walifurahishwa na juhudi zinazochukuliwa katikakuimarisha kilimo hicho.Ndugu Wakulima, hata hivyo ni juu yetu kuongeza bidii katikakuimarisha ukulima wa mpunga kwa kuongeza kasi kwa kutumiambegu bora, mbolea na kuhakikisha tunapalilia kwa wakati ili mpungauote vizuri bi<strong>la</strong> ya kuzongwa na magugu. Mara nyingi uzalishaji mpungahuwa duni iwapo hatutotumia mbegu bora, mbolea na kufanya palizikwa wakati kama inavyoshauriwa na wataa<strong>la</strong>mu.Ndugu Wakulima, wakati wote wa kuvuna mpunga tunashauriwakuhakikisha mavuno yetu yanakuwa bora hatuna budi kufuata kanunibora za uvunaji, uanikaji na uhifadhi wa mpunga wetu. Tukiwa badokatika sua<strong>la</strong> hilo <strong>la</strong> kilimo cha mpunga inabidi wakulima wa mpungahivi sasa tufi kirie nini cha kupanda baada ya kuvuna mpunga ili tuwezekuongeza kipato chetu, tuhifadhi mashamba yetu kutokana na maguguna kuirutubisha ardhi kwa ajili ya msimu ujao.Ndugu Wakulima, utafi ti uliofanywa unaonesha kuwa katika mabondeya mpunga wa kutegemea mvua inashauriwa na inandekezwa sanawakulima kupanda kunde baada ya kuvuna mpunga. Kwa mpangohuu mkulima anafaidika kwa kupata kunde, kuzuia magugu kuota kwawingi na kurutubisha ardhi kutokana na zao hilo, hivyo kupanda kundekunamwezesha mkulima kutengeneza konde yake kwa msimu ujao.Ndugu Wakulima, mara nyingi baada ya kuvunwa mpunga kondezinaachiwa bi<strong>la</strong> ya kupandwa kitu chochote kunakosababisha kuotakwa magugu na inapofi ka musimu wa mpunga kazi huwa kubwa zaidiya kuchimbua na kuburuga.Ndugu Wakulima, kwa kumalizia ni vizuri tukumbushane kwambatusijaribu kuuza mpunga wetu wote baada ya kuvuna bi<strong>la</strong> ya kujiwekeaakiba, kwanza tuhakikishe tunajiwekea chaku<strong>la</strong> cha kutosha na ziadandiyo tunaiuza.PICHA YA JALADAKatika picha anaonekana Waziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe. MansoorYussuf Himid akipata maelekezo kuhusu kilimo cha zao <strong>la</strong> vani<strong>la</strong> kutokakwa mkulima mzoefu wa zao hilo huko Kizimbani wakati alipofanyaziara za kuwatembelea wakulima na taasisi zilizomo katika Wizara ya<strong>Kilimo</strong> na Maliasili.2


ZIARA YA RAIS KATIKA MAENEO YA KILIMO <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011MAENEO YA KILIMO YA UNGUJA NA PEMBANa Mzee M. MzeeRais wa Zanzibar na Mwenyekitiwa Baraza <strong>la</strong> Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein alifanya ziara yakutembelea sekta ya kilimo na maliasilikatika visiwa vya Unguja kuanziatarehe 23 hadi 28/5/2011 na Pembatarehe 30/5 hadi 4/6/2011. Ziara hiyoilikuwa na lengo <strong>la</strong> kujua mafanikio,changamoto na hatua za kuwasaidiawananchi kufi kia malengo ya Serikaliya kujitosheleza kwa chaku<strong>la</strong>, lishe nakupunguza umasikini nchini. Katikaziara hiyo Mhe. Rais aliongozanana Mhe. Mansoor Yussuf HimidWaziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili, KatibuMkuu, Manaibu Makatibu Wakuu,Wakurugenzi na Maofi sa wa Wizarahiyo.Ziara hiyo ilianza kwa kukagua kilimocha mpunga wa umwagiliaji maji katikabonde <strong>la</strong> Mtwango ambapo aliwaahidiwakulima kuwapatia pembejeo kwabei nafuu na kwa wakati na kuimarishamiundombinu ya umwagiliaji maji nakusisitiza kuwa kilimo bi<strong>la</strong> maji, mboleana mbegu bora hakiwezi kuwa na tija.Akiwa katika Bonde <strong>la</strong> BumbwisudiMhe. Rais alipata maelezo yamafanikio, changamoto na malengoya uzalishaji wa mpunga na aliahidikuzipatia ufumbuzi changamotozilizopo na kusema Serikali ina nia yakumkomboa mkulima ili aondokane nakilimo duni na kufi kia kilimo chenye tijakwa faida yake na kwa taifa.Katika Kituo cha <strong>Kilimo</strong> KizimbaniMhe. Rais alitembelea sehemu yautafi ti wa mbegu za mpunga, muhogona migomba na kupata maelezo yauzalishaji wa mbegu na utafi ti waudhibiti wa wadudu na maradhi,ambapo aliombwa kusaidia vitendeakazi na kaboresha mas<strong>la</strong>hi ya watafi tiwaliopo ili wasikimbie kutokana namas<strong>la</strong>hi duni.Akiwa katika sehemu ya utibabu wamimea na ukaguzi wa mazao,Mhe. Raisalipata maelezo kuhusu udhibiti wa nziwa matunda, kuangalia maabara yauzalishaji wa miche kwa kutumia Chupa(Tissue culture) na maabara ya udongoambapo alionyeshwa aina tofauti zaudongo zilizopo Zanzibar na kupatamaelezo juu ya utafi ti wa udongo nafaida zake kwa mazao. Pia alitembeleakituo cha usarifu wa mazao na kushaurijambo hili lipewe kipaumbele naRaisi wa Zanzibar, Mhe: Dkt. Ali Mohamed Shein wa kwanza kulia akiwa na KatibuMkuu wa Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasili ndugu Affan O. Maalim na wafanyakazi wengineakipata maelezo kuhusu kilimo cha umwagiliaji maji kutoka kwa mtaaamu ndugu Kadirikuwashajiisha wawekezaji wa ndanikuwekeza katika sekta hiyo. Aidha,aliwataka wafanyakazi na wanafunziwa Chuo cha <strong>Kilimo</strong> Kizimbani kusomazaidi na kwa bidii na kuahidi kukisaidiachuo hicho kiweze kutoa Diploma hadiDigirii.Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein katikaMkoa wa kusini Unguja, alimtembeleandugu Ahmed Saleh mkulima mwekezajiwa shamba <strong>la</strong> viungo na matunda hapoKidimni, Kituo cha Uzalisha mbeguza kilimo Bambi kuangalia uzalishajina utayarishaji wa mbegu mpya zampunga aina ya NERICA, pia alifi kabonde <strong>la</strong> mpunga Cheju na kukaguaukulima wa mpunga wa kutegemeamvua. Aidha, Rais aliwatembeleawakulima wa migomba pamoja nashamba <strong>la</strong> migomba <strong>la</strong> Mwakilishi waJimbo <strong>la</strong> Makunduchi, Mhe. Haroun AliSuleiman na alimalizia ziara yake kwakufanya majumuisho katika ukumbi waChuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu.Mhe. Rais akiongozana na Waziri wa<strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe. Mansoor YussufHimid pamoja na mawaziri wengine,wakuu wa mikoa, makatibu wakuu naviongozi wa vyama vya siasa alifanyaziara kama hiyo kisiwani Pemba. Akiwakatika Wi<strong>la</strong>ya ya Wete alitembeleaKituo cha kilimo cha mpunga wa3umwagiliaji maji Mangwena na kupatamaelezo ya utekelezaji wa kilimo hicho.Katika shamba <strong>la</strong> ushirika <strong>la</strong> MabiboJunguni Mhe. Rais alipata fursa yakuangalia kilimo cha mikarafuu,muhogo na mda<strong>la</strong>sini ambapo alielezakuwa Serikali ina mpango maalum wakuimarisha zao <strong>la</strong> karafuu na kupunguzabei za pembejeo, pia aliiagiza Wizara ya<strong>Kilimo</strong> na Maliasili kuandaa ziara zawakulima kutoka maeneo mbali mbaliya Zanzibar kwenda huko kujifunzakilimo cha mikarafuu.Ziara iliendelea katika Wi<strong>la</strong>ya yaMicheweni kwa kutembelea bonde <strong>la</strong>Kanambe kwa kukagua ukulima wampunga, kupata maelezo ya ukulimahuu na changamoto zilizopo ikiwa nipamoja na kutotumia mbegu bora,matumizi madogo ya mbolea naupungufu wa mvua katika kipindi chakuchanua mpunga. Mhe. Rais alihimizakulima kilimo chenye tija na kuwatakawakulima waongeze juhudi ili kuzalishaanga<strong>la</strong>u gunia 30 hadi 40 za mpungakwa eka na Serikali itajitahidi kuwekezakatika kilimo cha umwagiliaji maji.Katika bonde <strong>la</strong> Mpunga <strong>la</strong> Mziwandaambalo linategemewa na watu wengiwa Micheweni kwa kilimo hicho,kuingiliwa na maji chumvi Raisalishuhudia. Mhe. Rais akiangalia


<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011ZIARA YA RAIS KATIKA MAENEO YA KILIMOmadhara hayo ambayo yameathirikwa kiasi kikubwa kilimo cha mpunga,aliagiza kujengwa kizuizi katika eneohilo kama ilivyofanyika katika maeneomengine. Wakulima nao walimuombaMhe. Rais kuwasaidia ujenzi wa tuta <strong>la</strong>zege, kuwapatia mbegu bora, mboleana huduma za matrekta.Katika Shamba <strong>la</strong> Mtama lililopo MjiniWingwi, wakulima walim<strong>la</strong><strong>la</strong>mikiaMhe. Rais kutokutekelezwa kwaahadi yake aliyoitoa mwezi Februariya kuwapatia mbegu bora ya mtamaambapo kulisababisha wakulimakutumia mbegu za kienyeji. Nae KatibuMkuu wa Wizara ya <strong>Kilimo</strong> alielezakuwa mbegu tayari zimeshanunuliwana ilishindikana kuigawa kwa sababuwakulima walikuwa wamekwishapanda. Hata hivyo, Mhe. Rais aliagizambegu hiyo ipelekwe kwa wakulima iliwaitunze wenyewe na Wizara ya <strong>Kilimo</strong>na Maliasili tayari imetekeleza agizohilo.Ziara ya Mhe. Rais iliendelea siku yanne kwa kupokea taarifa ya MkoaKusini Pemba ambayo ilisomwa naMkuu wa Mkoa, ambapo alifi ka bonde<strong>la</strong> Kichwa ambalo lina jum<strong>la</strong> ya ekari20 na wakulima 46, ambapo alipatamaelezo mafupi. Naye Waziri wa <strong>Kilimo</strong>na Maliasili aliahidi kuwa Serikaliitaongeza usambazaji wa taalumana wataa<strong>la</strong>mu wa kilimo kwa kuajirimabwana/mabibishamba 110” nakuwashauri wakulima kuunda Jumuiaili kurahisisha upatikanaji wa hudumahizo.Rais pia alifi ka katika bonde <strong>la</strong> mpungaKimbuni lenye wakulima 67, ambalolilianza kilimo cha umwagiliaji majimwaka 1979 katika hekta 6. Wakulimanao walimueleza Mhe. Rais kilio chaokinachorejesha nyuma jitihada zaoza kuendeleza kilimo cha umwagiliajimaji kunakopelekea kupata mavunomadogo ikiwa ni pamoja na ukosefuwa mabwanashamba na bei kubwa zapembejeo.Mhe. Rais aliendelea na ziara katikakijiji cha Sanani kwa kuangalia athariya uharibifu wa mazingira iliyotokanana uchimbaji wa matofali ambakoaliwasihi wananchi kuachana nauharibifu huo na kuagiza mashimohayo yapandwe miti. Huko Makombenikurahisisha usafi rishaji wa mazao yakarafuu, mpunga na pembejeo hasawakati wa mvua.Katika Wi<strong>la</strong>ya ya Chake Chake Mhe.Rais alitembelea bonde <strong>la</strong> Mfubahahuko Vitongoji ambalo hutumika kwakilimo cha mpunga wa kutegemeamvua, bonde hilo lina ukubwa wa ekari100 na kwa msimu huu asilimia 90 yaekari hizo zililimwa. Wastani wa mavunokwa sasa ni kilo 600 kwa eka wakatiupo uwezekano wa kupata tani 2.8kwa eka. Mbali na maelezo aliyoyapatakutoka kwa wakulima na changamotozinazosababisha uzazi duni zikiwemoukosefu wa mvua za kutosha namatumizi madogo ya mbolea naupungufu wa mabwanashamba. hivyowakulima waliomba waongezewemabwanashamba kwani mmoja aliyopohatoshi na waundiwe taasisi itakayosimamiwa na wakulima kufuatiliakilimo.Mhe. Rais alitembelea Skuli yaWakulima wa Muhogo Dodo Pujini nakuwaambia wakulima kuwa Serikaliitawapatia huduma za matrekta napembejeo na inawataka walime kilimocha kisasa chenye tija.Mhe. Rais aliwashukuru viongozi nawananchi walioshiriki katika ziara hiyoUnguja na Pemba. pia alifurahishwana juhudi za wakulima katika maeneoaliyoyatembelea. Katika ziara hiyoaliagiza kuangalia uwezekano wakusarifu mazao ya mashelisheli, ndizina muhogo ambayo yanapatikana kwawingi hapa visiwani ili kupata soko. Piaaliitaka Wizara ya <strong>Kilimo</strong> kulitafutiaufumbuzi sua<strong>la</strong> <strong>la</strong> uhifadhi wa chaku<strong>la</strong>ili kuhakikisha usa<strong>la</strong>ma na uhakika wachaku<strong>la</strong> Zanzibar.Mhe. Rais aliitaka Wizara ya <strong>Kilimo</strong>na Maliasili kwenda sambamba naazma ya Serikali ya kuimarisha kilimohivyo kufi kisha taarifa za kitaa<strong>la</strong>mukwa wakulima na kwa wakati. Aidha,aliwataka watendaji kuwa wazi,wakweli, wabunifu na kuwatembeleawakulima bada<strong>la</strong> ya kutumia mudamwingi maofi sini.Mhe. Rais alisema Serikali imedhamiriakutoa kipaumbele kwa zao <strong>la</strong>karafuu pamoja na kufanya utafi tiutakaoongeza thamani ya karafuuna mazao mengine ya viungo. Aidha,aliitaka Wizara ya Fedha kutoa Shillingimillioni 14.5 kwa ajili ya kurekebishamashamba yaliyoharibika kwa kujaamchanga wakati wa ujenzi wa barabaraya Wete – Gando huko Mangwena nakuahidi kuchangia Shilingi milioni mbili(2,000,000/=) ili kuimarisha ushirikawa Mabibo Junguni.Mhe. Rais aliahidi kuwapatia ardhikikundi cha wakulima wa muhogocha Mitamani Pujini ambapo Wizaraya Biashara imeahidi kukipatia garidogo <strong>la</strong> mizigo (pick-up) na Wizara yaUshirika imeahidi kutoa gari <strong>la</strong> matairi3 (bajaj) ili kurahisisha usafi rishaji wamazao yao.MAPINDUZI YA KILIMO NCHINI ni kaulimbiu inayohusisha dhana nzima yakuendeleza kilimo na kupatikana kwauhakika wa chaku<strong>la</strong>. Hivyo wananchiwametakiwa kufanyakazi kwa bidii.Mhe. Rais aliangalia kilimo cha mpungawa umwagiliaji maji na kupata maelezoya mradi unaofadhiliwa na JICA,Serikali na wananchi. Wakulima wahapo walimuomba Mhe Rais kusaidiaujenzi wa bara bara ya <strong>la</strong>mi yenye urefuwa kilomita mbili katika maeneo yaMbuguani, Uweleni na Ng’ombeni iliRaisi wa Zanzibar, Mhe: Dkt. Ali Mohamed Shein wa tatu kushoto akiwa na viongoziwengine wa Serikali alipata fursa ya kuangalia kilimo cha Karafuu na kuzungumza nawakulima wa zao hilo huko Pemba.4


VIFAA VYA KUPANDISHIA NG’OMBE <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011VIFAA VYA KUPANDISHIA NG’OMBE KWA SINDANO VYAKABIDHIWANa Hashim H. ChandeWaziri wa <strong>Kilimo</strong> na MaliasiliMhe. Mansoor Yussuf Himidkwa niaba ya Wizara hiyo alikabidhivifaa vya upandishaji ng’ombe kwanjia ya sindano vyenye thamani yashilingi 60,884,236.00 kwa Waziriwa Mifugo na Uvuvi Mhe. Said AliMbarouk kwa ajili ya kusaidia Sekta yaMifugo. Makabidhiano hayo yalifanyikatarehe 28/04/2011 katika ukumbiwa Programu za Kuimarisha Hudumaza <strong>Kilimo</strong> na Mifugo (ASSP/ASDP-L)Maruhubi.Baada ya makabidhiano hayo Mhe.Waziri aliinasihi Wizara ya Mifugona Uvuvi kuvitunza na kuvitumiavizuri vifaa hivyo na kwa malengoyaliyokusudiwa, Ili vitumike kwa mudamrefu na kuipunguzia Serikali gharamakubwa za kununua vifaa kama hivyo.Mafanikio ya program hizi katika kutoataaluma bora kwa wakulima na wafugajikutokana na kazi wanazozifanya ndiomwanzo wa Mapinduzi ya <strong>Kilimo</strong>Visiwani, kwa kuwa chanzo chamaendeleo ya kitu chochote ni elimuambayo ndio kipengele kikubwa chaProgramu hiziVifaa ambavyo vilitolewa kupitiaProgramu za ASSP na ASDP-L nikama vinanyoonekana katika jaduwelilifuatalo:Waziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe. Mansoor Yussuf Himid wapili kulia akimkabidhi vifaavya upandishaji ng’ombe kwa njia ya sindano Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. SaidAli Mbarouk wapili kushotoWaziri alieleza kwamba Program hizimbili za kutoa huduma za kilimo namifugo zinawajengea uwezo wakulimana wafugaji wetu kutambua matatizoyao, kutoa kipaumbele cha matatizona kuyapatia ufumbuzi kulingana narasilimali zilizopo.Aidha, alifahamisha kwamba katikajuhudi za kuimarisha sekta ya mifugoProgramu ya Kuendeleza Huduma zaMifugo (ASDP-L) iko mbioni kukamilishaukarabati wa vituo vya kutoa hudumaza afya ya mifugo, uzalishaji namaabara zake. Vituo hivyo ni pamojana Konde, Kengeja, Mangapwani namaabara za mifugo zilizopo Maruhubina Chake Chake. Kwa sasa mkatabawa ukarabati wa chinjio <strong>la</strong> kisakasakaupo tayari na mkandarasi ameshatiasaini na ujenzi unategemewa kuanzahivi karibuni ambapo jum<strong>la</strong> ya shilingi191,803,766.00 zimetengwa naprogram mwaka huu kukidhi ukarabatiwa majengo na ununuzi wa vifaa vyakeili viweze kutoa huduma zinazostahili.S.No Description Unit Gty1. Artifi cial vagina set 42. Rough <strong>la</strong>tex liners for AV set 43. Rough neoprene liners for bovine set 44. Smooth neoprene liner for bovine set 45. Smooth <strong>la</strong>tex liners for AV set 46. Reusable cones for Bovine AV dozen 47. Reusable Protective cover for AV dozen 48. Pyrex 15ml Graduated tubes dozen 49. Gumboots Pair 610. Liboratory coats pcs 611. Overall pcs 612. Digital thermometer pcs 213. Semen extender bottle 614. Micros cope Pcs 115. Al kit Kit 5016. Insemination sheath packet 2017. Infrared sterilizer Pcs 118. Water bath (with regu<strong>la</strong>ted temperature Pcs 119. GnRH Vial 620. Gonadotrophin pack 65


<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011UTAFITI WA MIZIZI NA UHIFADHI WA MISITUWAZIRI WA KILIMO NA MALIASILI ASISITIZATAFITI ZA MAZAO YA MIZIZI NA UTUNZAJI WA MISITUNa Sabiha K. AhmedKatika kuendeleza juhudi zawakulima wa zao <strong>la</strong> muhogo,Waziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe.Mansoor Yussuf Himid alifanya ziaraya kutembelea wakulima wa muhogokatika kijiji cha Machui Wi<strong>la</strong>ya ya KatiUnguja ambako aliwataka wakulimakuwa na matarajio makubwa yamabadiliko katika sekta ya <strong>Kilimo</strong>katika Bajeti ya mwaka huu 2011/2012.Alieleza kuwa Wizara imekusudiakufanya utafi ti zaidi wa mazao ya mizizi,hatua ambayo itakuza kilimo chamazao hayo na kuwaongezea kipatowakulima. Aidha, Waziri aliwatakawakulima hao kuongeza juhudina kutokata tamaa kwa gharamakubwa za pembejeo na Serikali tayariimezingatia mahitaji yao.Nae ndugu Suleiman John, mkulimawa muhogo katika kijiji cha Machuialimueleza Waziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasilikuwa walikuwa wanakabiliwa na tatizo<strong>la</strong> upatikanaji wa mbegu ya muhogokwa muda mrefu baada ya mbegu zaoza asili kuathiriwa na maradhi ya kansaya muhogo na hivi sasa tatizo hilolimetatuliwa na Wizara ya <strong>Kilimo</strong> baadaya kufanya utafi ti na kupatikana kwambegu mpya nne za muhogo aina yaMahonda, Machui, Kama na KizimbaniWaziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe; Mansoor Yussuf Himid akiangalia shamba <strong>la</strong>mkulima wa muhogo ndugu Khamis Mkubwa wa Kichunjuu Pembe alietumia mbegubora aina ya Kizimbani iliyotolewa na Kituo cha Utafi ti wa <strong>Kilimo</strong> Kizimbani.ambapo mbegu ya Machui inastawivizuri katika kijiji hicho.Mhe. Mansoor akiwa katika ziara yakutembelea Msitu wa Kiwengwa-Pongwe aliwataka wanakijiji kuwa namtazamo wa ulimwengu unaolengazaidi katika uhifadhi na utunzaji warasilimali ya misitu na kujua kwambamisitu humkomboa binaadamu kwakumpatia kipato na kuongeza pato<strong>la</strong> Taifa. Aliwafahamisha wanakijijihao alisema ili nchi iweze kunufaikakutokana na misitu, jamii inapaswakuendeleza ushirikiano katika jitihadaza kuhifadhi misitu isipotee.Hifadhi ya Msitu wa Kiwengwa-Pongweni ya pekee, yenye thamani na ni yapili kwa ukubwa katika ukanda waKaskazini Unguja kwa kuzalisha kuni,mkaa na dawa za asili. Msitu huu nirasilimali muhimu unaochangia pato <strong>la</strong>Taifa na ni chanzo kikuu cha mvua nauna mapango ya maji ambayo ni chanzcha maji ya uhakika kwa matumiziya mahoteli ya Ukanda wa Pwani yaKiwengwa. Hivyo amewataka wananchikuitunza rasilimali hiyo ili iendeleekuinufaisha nchi na kuimarisha ustawiwa maisha yetu.Lengo kuu <strong>la</strong> hifadhi ya msitu huu nikuimarisha utalii na kukuza mfuko wahazina ya Serikali. Katika kuhakikishamsitu huo unavutia kiutalii. Wazirialisisitiza kuwa ipo haja kwawawekezaji kuwekeza ndani ya msituhuo, kinachosubiriwa ni kukamilikakwa taratibu za kisheria.Sehemu ya msitu wa hifadhi ya Masingini unaokabiliwa na uharibifu mkubwa hivisasa ambao ni chanzo kikuu cha maji yanayotumika na wakaazi wa Mjini.6Uhifadhi wa Msitu wa Kiwengwa-Pongwe unakabiliwa na changamotoza ukosefu wa vitendea kazi pamoja nauvamizi hivyo wananchi wameshauriwakuongeza za msitu huo na kwambaSerikali iko pamoja nao.


KILIMO CHA MUHOGO <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011MAKOMBENI YAONGEZA UZALISHAJI WA MUHOGONa Shauri HajiMuhogo ni zao <strong>la</strong> chaku<strong>la</strong>linalolimwa na wakulimawengi katika visiwa vya Ungujana Pemba na inakisiwa jum<strong>la</strong> yaekari 75,000 hulimwa zao hiliambapo wastani wa tani 152,751huzalishwa kwa mwaka kwa ajiliya chaku<strong>la</strong> na biashara. Hata hivyoinakadiriwa asilimia 90 ya wakulimawa Zanzibar hulima muhogo katikamisimu ya Masika na Vuli.Bwana Juma Saidi Moh’d mwenyeumri wa miaka 42 ambaye niKatibu wa Skuli ya Wakulima “TukoFit” Shehia ya Makombeni, Wi<strong>la</strong>yaya Mkoani Pemba ni miongoni mwawakulima wa muhogo aliyepatamafunzo ya upandaji wa muhogona kutumia mbolea ya samadikupitia Programu za KuimarishaHuduma za <strong>Kilimo</strong> na KuendelezaSekta ya Mifugo (ASSP&ASDP-L).Kutokana na mafunzo hayondugu Juma alipata mafanikiomakubwa yaliyompelekea kuwamhamasishaji wa zao <strong>la</strong> muhogokwa kuwashauri wakulima wenzakewakati wa kupanda, kutumiambegu zilizofanyiwa utafi ti, ukatajiwa mbegu, urefu wa mbeguunaostahiki na upandaji ili kudhibitiuharibifu, kuongeza mavuno na tijakwa mkulima.Alishauri wakati wa kupanda kisikicha muhogo kinatakiwa kiwe roboau nusu yake kifukiwe chini yaudongo ili kurahisisha kung’oa nakama kitapandwa kwenye ardhiya kichanga kiingizwe hadi robotatu. Palizi ya kwanza ifanywe wikimoja na nusu au mbili baada yakupandwa na ya pili baada ya miezimiwili kutegemea uotaji na ukuajiwa magugu. Mpaka sasa nduguJuma ametoa taaluma hiyo kwawakulima wenzake 100, wakiwemowanawake 30 na wanaume 70katika Wi<strong>la</strong>ya hiyo.Juma Saidi Mohd mkulima wa muhogo wa Makombeni, Mkoani, Pemba akiwakatika konde yake ya muhogoKutokana na kutumia mbegubora za muhogo za kisasa ainaya Mwari, Mahonda, Machui naKizimbani, mkulima huyo alisemauzalishaji umeongezeka katikaShehia hiyo tofauti na mbegu zazamani ambazo zikitoa mavunokidogo kufuatia kukumbwa namaradhi ya michirizi na Mosaicambayo yaliangamiza mbegu zaBoma, Mdonge, Hameni mjiniKigoma na Jawa na kumsababishiawakulima kupata mavuno hafi fu nakuongeza umasikini.Mbegu hizo mpya za muhogozinatoa mavuno ya wastani wakilo nne hadi tano kwa shina nashina moja lina thamani ya shilingi3000/= hadi 4000/= . Kutegemeana msimu. Mbegu za Mahondana Machui ndizo zinazostawi zaidikatika Shehia ya Makombenikwani shina moja na huweza kutoawastani wa kilo tano na nusu.Hata hivyo, changamoto zilizoponi maradhi aina ya ukungu namichirizi ambayo hushambuliana kuangamiza mbegu za Boma,7Mdonge, Hameni Mjini, Mbega naKigoma. Changamoto nyengine nipamoja na ukosefu wa maeneokwa ajili ya utanuzi wa mashamba.Kutokana na Changamoto hizohuduma za mbegu bora hutolewana Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasilikupitia Taasisi zake za Utafi ti wa<strong>Kilimo</strong> na Elimu kwa Wakulimakwa kutumia shamba darasa kwakuwapa mafunzo na kuwajengeauwezo wakulima ili kuongezauzalishaji wenye tija.Muhogo uliopatikana kwa kutumiataaluma bora na ushauri wa kitaa<strong>la</strong>mu.


Matukio ka<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011MATUKIO KARaisi wa Zanzibar, Mhe: Dkt. Ali Mohamed Shein wa katikati akiwa na Waziri wa <strong>Kilimo</strong> naMaliasili Mhe; Mansoor Yussuf Himid kulia kwake akipata maelezo kuhusu uzalishaji wambegu ya mpunga aina ya NERICA kutoka kwa Ndugu Affan O. Maalim, Katibu Mkuu waWizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasili katika kituo cha uzalishaji wa mbegu Bambi.Raisi wa Zanzibar, Mhe: Dkt. Ali Mohamed Slinaloendelea kujengwa <strong>la</strong> kituo cha mafunzomaelezo yake kutoka kwa mkuu wa mradi huoziara ya kukitembelea kituo cha Utafiti wa kilimWaziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe. Mansoor Yussuf Himidi kushoto akipokea msaada wadarubini ambayo itatumika katika uchunguzi wa mbegu kutoka kwa aliyekuwa MwakilishiMkaazi wa Shirika <strong>la</strong> Chaku<strong>la</strong> na <strong>Kilimo</strong> Duniani (FAO) Tanzania Dk. Louise L. Setshwaelowakati alipofi ka Wizarani kumuaga baada ya kumaliza muda wake hapa nchini.8Waziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe: Mansoor Y‘Jahazi’ aliyekuwa Mwakilishi Mkaazi wa ShirikaDkt. Louise L. Setshwaelo wakati alipofi ka Wizhapa nchini, kushoto na Mkurugenzi wa Sera, M


TIKA PICHA <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011tika Pichahein kushoto akiangalia mchoro wa jengoya usarifu wa mazao ya kilimo na akipataNdugu Saleh M. Juma, wakati alipofanyao Kizimbani.Waziri wa Kazi, Maendeleo ya Vijana na Ushirika, Mhe; Haroun Ali Suleiman mwenye sutinyeupe akiangalia na kupata maelezo kuhusu mpunga uliozalishwa kwa mbegu ya NERICAkutoka kwa Mkurugenzi wa <strong>Kilimo</strong> ndugu Mberek Rashid huko katika viwanja vya Amanibaada ya kuyafungua rasmi maonyesho ya siku ya wafanyakazi duniani (Mei mosi).ussuf Himid katikati akimkabidhi zawadi yaa Chaku<strong>la</strong> na <strong>Kilimo</strong> Duniani (FAO) Tanzaniarani kuaga baada ya kumaliza muda wakeipanga na Utafi ti Dkt. Juma M. Akil.Waziri wa <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Mhe: Mansoor Yussuf Himid kulia akipata maelezo kuhusu kilimocha uyoga na viungo kutoka kwa mtaa<strong>la</strong>mu wa mazao hayo ndugu Foum Ali Garu katika viwanjavya Amani wakati wa maonyesho ya siku ya wafanyakazi duniani (Mei mosi) alipotembeleabanda <strong>la</strong> Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasili.9


<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011MBEGU ZA MUHOGO KWA VOCHAUGAWAJI WA MBEGU ZA MUHOGO KWA VOCHANa Haji H. SalehWizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasilikupitia Taasisi ya Utafi ti wa<strong>Kilimo</strong> Zanzibar imeanzisha hudumaya Vocha kwa ajili ya ugawaji wambegu za muhogo. Vocha ni karatasimaalum yenye thamani ya fedha nahutumika kwa ajili ya upatikanaji wambegu na pembejeo kwa wakulimawasio na uwezo wa kununua na kupatapembejeo husika.Hapa Zanzibar, mfumo huu wa vochaulianza kutumika kwa majaribiokatika vijiji vya Mahonda, Machui,Makunduchi, Uzi na Kisauni ambakoulilenga kutoa fursa kwa wakulimawasio na uwezo wa kununua mbegumpya na bora za muhogo zenye uzazimkubwa na kustahamili maradhi.MAFANIKIO YALIYOPATIKANAKatika awamu ya kwanza ya majaribiojum<strong>la</strong> ya wakulima 1,217 walifaidika,hasa wale walioharibikiwa na mazaoyao kutokana na majanga ya maradhiya muhogo yanayosababishwa navirusi (Cassava Brown Streak Disease,CBSD, na Cassava Mosaic Disease,CMD). Hata hivyo, imebainika kuwawakulima wengi hawana uwezo wakununua mbegu bora kutoka kwawazalishaji wa mbegu hizo.MAMBO YA KUFUATA WAKATI WAKUSHAJIISHA MATUMIZI YA VOCHAi. Kuandaa mkutano na kushajiishaviongozi wa Wi<strong>la</strong>ya, Shehia na Vijijihusika kwa lengo <strong>la</strong> kutoa uwelewana umuhimu wa mfumo wa vocha,ii. Kutumia vigezo maalum ikiwa nipamoja na “PRA wealth rankingtool” kwenye jamii (shehia)zitakazohusika na zoezi hili ilikupata watu wanaostahiki kupatamsaada au huduma hii kwa mujibuwa uwezo wao,iii.Kutayarisha orodha ya wazalishajiwa mbegu bora ambazozinatumika katika usambazaji kwakutumia vocha,iv. Kuandaa mpango wakuwatembelea wazalishajimbegu na kuangalia ubora wambegu zinazozalishwa ili kuepukaMkulima akitayarisha mbegu ya muhogo aina ya Kizimbani kwa ajili kuzitoakwa wakulima wenzake kwa mfumo wa vochausambazaji wa mbegu zisizo naviwango,v. Kusambaza orodha yawenye mbegu kwa wakulimawanaotegemewa kupata mbeguhizo ili wafahamu muda na wapiwakachukue mbegu hizo baada yakukabidhiwa vocha zao,vi. Kutayarisha mkutano wawanaotarajiwa kupata vocha nakuzigawa vochakatika mazingira yauwazi na ukweli.vii. K u w ashirikishaviongozi wa ngazihusika ili ki<strong>la</strong> mdauaelewe hatuazinazoendelea katikaeneo <strong>la</strong>ke,viii. Kufanya mkutano nawazalishaji wa mbeguna kuwaelezeataratibu za ugawajiwa mbegu na namnawatakavyopatamalipo yao baada yakubadilishana vochana mbegu,ix. Kubadilishana vochana mbegu,x. Kuchukua takwimuza vocha zilizotolewa10sambamba na kufanya malipokwa wazalishaji mbegu. Ki<strong>la</strong> vochamoja ya muhogo ina thamani yashilingi 3000/= ambayo ni sawana thamani ya mzigo mmoja wambegu mpya.xi. Ki<strong>la</strong> mkulima aliyeteuliwaamefaidika na mpango huu kwakupata si zaidi ya vocha mbilizenye thamani ya shilingi 6000/=Mfano wa vocha inayutumika kupata mbegu zamihogo.


MBEGU ZA MUHOGA KWA VOCHA/MATONE <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011xii. Mzalishaji mbegu hukusanyavocha zake na kuzipeleka katikaKitengo cha Utafi ti wa Mazao yaMizizi kwa malipo ki<strong>la</strong> mwisho wamwezi,xiii. Ili vocha iweze kulipwa <strong>la</strong>zimaionyeshe sahihi za wahusikaakiwemo mtoa vocha, Mkuu waKitengo, mzalishaji mbegu pamojana tarehe ya mabadilishano hayo(Kama inavyoonekana kwenyesampuli ya vocha),MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIAKATIKA MATUMIZI YA VOCHA• Uwekaji kumbukumbu kwawazalishaji mbegu nzuri na zenyeviwango vinavokubalika.• Kutoa taaluma kwa washiriki wotekuhusu utaratibu wa vocha.• Uchaguzi wa wanufaika na hudumahii <strong>la</strong>zima waachiwe wanajamiiwenyewe ili kuepuka ma<strong>la</strong><strong>la</strong>mikokwa wataa<strong>la</strong>m kuwaingilia nakutoa upendeleo kwa baadhi yawatuFAIDA ZA MATUMIZI YA VOCHAMfumo huu umesaidia wakulimakatika nyanja nyingi, ikiwemo kueneakwa mbegu bora zinazozalishwa katikavituo vya utafi ti na kwa wazalishajiwa mbegu, kuwapatia mbegu borawakulima wasio na uwezo wa kununuambegu kutoka kwa wazalishaji. Kupatamafunzo juu ya matumizi ya vocha nakubadilishana uzoefu katika uzalishajiwa mazao na kuwapatia sokowazalishaji wa mbegu.HITIMISHOMfumo wa matumizi ya vocha katikaugawaji wa mbegu za muhogoumeonesha kwamba unaweza piakutumika katika ugawaji au utoaji wahuduma kwa mbegu za mazao menginena pembejeo za aina tofauti. Kutokanana uzoefu uliopatikana inashauriwajuhudi zaidi zichukuliwe ili kupanuamatumizi ya mfumo wa vocha.UMWAGILIAJI MAJI KWA MATONENa Amour UzziUmwagiliaji kwa njia ya matoneni utaratibu wa kumwagilia majitaratibu kwenye udongo kwa kutumiachombo kilichotayarishwa kwakunyunyizia maji kwenye sehemuiliyochaguliwa kufuata mistari inayotoamaji. Vinyunyizo hivi huwekwa juu yaardhi <strong>la</strong>kini pia vinaweza kufukiwandani ya ardhi.Umuhimu wa umwagiliaji maji kwanjia ya matone ni kuhakikisha majihayapotei kwa wingi na yanapenya vizurindani ya ardhi na husaidia kupunguzana kuyayusha chumvi kwenye mmeana magugu pia hupungua. Mboleana madawa yanaweza kutumika mojakwa moja kwa kutia ndani ya maji nakupelekwa kwenye mmea. Mfumo huuhupunguza gharama na kuajiri vibaruawengi shambani na gharama. Huokoaupoteaji wa maji kwa asilimia 50 nahutumika zaidi kwenye sehemu zenyeuhaba wa maji.Umwagiliaji kwa njia ya matone huimarisha mboga mboga na kumuweshamkulima kupata mavuno wakati wote wa msimuumegawika katika sehemu kuu tatukama zifuatazo:Umwagiliaji wa matone kwenyemashamba makubwa.Licha ya faida za umwagiliaji majikwa njia ya matone pia zipo hasarachache kama vile, kuziba vinyunyizomara kwa mara na husababisha majiyamwagike vizuri kwenye mimea.Gharama za kuanzia huwa kubwaambapo wakulima wadogo wadogowanashindwa kuzimudu.Hapa Zanzibar umwagiliaji maji kwanjia ya matone unaendelea kukuasiku hadi siku na Mkoa wa MjiniMagharibi unaongoza kwa kuwa nawatu wengi wanaotumia mfumo huoukifuatiwa na Mkoa wa Kusini Unguja.Aidha, umwagiliaji kwa njia ya matoneUmwagiliaji katika bustani zamajumbaniVifaa na vitu muhimu vinavyohitajikakwenye mfumo wa umwagiliajini pamoja na vianzio vya maji(kisima, mto, ziwa, bwawa au majiyanayotuama), pampu ya kusukumiamaji kuingiza tangini, jenereta auumeme, mipira ya ¾ au ya inchi 1 naviungo vyake. Micro Drip 1.9L/H o.3M250M, Ental Pungers/F4/7F.D, EntalColler F.D (0.5-2001), AM 1” SuperDisc Filter 120, Quick all Punch 3mmP<strong>la</strong>stic Narrow Tefl on na Connector forMicro Drip/Landli.11Mashamba makubwa yanahitaji mipiramikubwa ya maji ikilinganishwa naile ya umwagiliaji katika bustani zamajumbani.Umwagiliaji wa matone kwa chupaNjia hii inafaa kutumika zaidi katikamiti mikubwa ambayo inahuishwamashambani.AngalizoTangi au sehemu ya kuhifadhia majiinatakiwa iinuke kwa uchache wa mitambili


<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011MISITU YA UKANDA WA PWANINa Rashid KhamisUzinduzi wa mradi wa Uhifadhi waMisitu ya Asili ya Ukanda wa Pwaniuliofanyika Bwawani Hoteli hapa Zanzibartarehe 30/05/2011 ambapo Shirika <strong>la</strong>Uhifadhi wa Mazingira Duniani <strong>la</strong> GEF,kupitia Shirika <strong>la</strong> Umoja wa Mataifa <strong>la</strong>Mpango wa Maendeleo Duniani <strong>la</strong> UNDPlinasaidia uhifadhi wa Mazingira ya Misituya Asili ya Tanzania bara na Zanzibar.Hapa Zanzibar ipo misitu mitatu yahifadhi itakayofaidika na mradi huuambayo ni Jozani, Kiwengwa – Pongwe naMasingini kwa Unguja na msitu wa NgeziVumawimbi, Ras Kiuyu na Msitu Mkuukwa Pemba. Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasiliinachukua juhudi za kunusuru kupoteakwa misitu ya asili ambayo imeshehenimiti ya asili na wanyamapori kutokanana maeneo ambayo yalikua yameshehenimisitu ya asili sasa yamebakia na vichakavitupu. Mfano halisi ni kuadimika kwamiti muhimu katika maeneo ya misituya kaskazini Unguja, ambapo hasara yakutokuwa na misitu imeonekana kutokanana kupungua kwa nishati ya kuni zakupikia majumbani.Misitu ni benki ya kuhifadhi miti na mimeatofauti yenye uhusiano wa moja kwa mojana maisha ya binaadamu, ustawi wamazingira tunayoishi na maendeleo yakiuchumi. Aidha, miti ya dawa, miti adimuaina ya mipapindi na wanyamapori kamavile Popo wa Pemba, Kimapunju na Paanunga huishi katika misitu ya asili nao nimuhimu kwa maisha yetu ambapo bi<strong>la</strong>ya misitu maisha ya viumbe hawa huwamashakani.Misitu ya asili pia ni muhimu kwakinga dhidi ya majanga ya upepo mkalina urekebishaji wa hali ya hewa naupatikanaji wa mvua. Vile vile inachangiamaendeleo ya utalii, kutoa ajira kwawanavijiji wanaozunguka misitu ya hifadhi,kupatikana kwa vyanzo vya maji ambavyoni rasilimali kubwa kwa maisha yamwanadamu kwa matumizi ya majumbanina mahoteli (maji ni uhai). Misitu husaidiakujenga afya kwa uzalishaji wa matundamfano, mabungo na zambarau.Nje ya maeneo ya misitu ya hifadhi, ipomisitu iliyozunguka maeneo ya vijijiniambayo ni muhimu kwa kuhifadhiwa.Juhudi za uhifadhi ni vyema zihusishepande zote mbili, misitu iliyo chini yausimamizi wa taasisi za Kiserikali na iliyochini ya wanajamii.Kutokana na harakati za maendeleoya mwanadamu, baadhi ya maeneo yamisitu ya asili yameanza kupoteza uasiliwake kutokana na athari za kukatwa ovyokwa matumizi ya nishati ya kuni, makaa,kilimo, chokaa, majumba ya kuishi navitega uchumi.Daraja <strong>la</strong> mikoko <strong>la</strong> Jozani-Pete ni miongoni mwa kivutio cha watalii katikauhifadhi wa msitu wa ukanda wa pwani.Hivyo, kutokana na kutoweka kwa misituambayo ni muhimu katika maisha yaviumbe, Serikali kupitia Wizara ya <strong>Kilimo</strong>na Maliasili kwa kushirikiana na washirikahao imezindua mradi huo kwa lengo <strong>la</strong>kuhifadhi misitu pamoja na rasilimaliziliomo kwa faida ya wanajamii na taifakwa jum<strong>la</strong>.Miongoni mwa changamotozinazosababisha uharibifu wa misitu nipamoja na kuendelea kupungua kiwangocha maji ardhini ambacho kimepelekeakupungua kwa maji katika visima,mito na kukauka kwa vyanzo vyengine.Kuongezeka kwa kiwango cha joto nakurundikana kwa hewa mkaa. Athari zachangamoto hizo husababisha ardhikukosa rutuba ya kustawisha mazao yakilimo kunakopelekea uzalishaji mdogo,ukame na njaa kwa binadamu, kufa kwamifugo, kupotea kwa wanyamapori nakutokea kwa mafuriko wakati wa mvua.i. Hatua za kuchukua ili kuimarishauhifadhi wa misitu na kuwa endelevuni:ii. Kutenga maeneo zaidi ya uhifadhi wamisitu ya asili na kuimarisha iliyopo,iii. Kuendeleza taaluma ya uhifadhi wamisitu kwa jamii,vi. Kufanya ukaguzi wa misitu na kuchukuahatua za kisheria kwa wanaoharibumisitu.v. Kushirikisha jamii katika uhifadhi kwakuwasaidia kuanzisha na kuendelezavitalu vya miti na kupanda miti mingimjini na vijijini.12vi. Kuacha kuwinda wanyama kihole<strong>la</strong>pamoja na,vii. Kuanzisha sheria ndogo ndogo.Jamii inashauriwa ipunguze kiwangokikubwa cha kuvuna misitu ya asili kwamatumizi ya nishati ya kupikia majumbani,mahotelini na katika mabekari nauchomaji wa chokaa na makaa. Aidha,wanajamii wanatakiwa waendeleze juhudiza kupanda miti ya misitu na matunda nawaachane na tabia ya kukata misitu yaasili ovyo, kwani tabia hiyo inasababishakutoweka miti mikubwa ambayo nimuhimu kwa uzalishaji wa mbegu.Ushirikishwaji wa wanavijiji katikakufanikisha utekelezaji wa mradi huuunahitajika ili waweze kutoa michangoyao katika kupanga na kutekeleza kaziza mradi kupitia kamati zao za uhifadhimisitu. Mradi unapaswa uwashirikisheuongozi wa Wi<strong>la</strong>ya husika katikautekelezaji wake na kuwapatia taaluma yakupanga na kusimamia uhifadhi wa misitukatika ngazi za Shehia hadi Wi<strong>la</strong>ya.Vile vile Taasisi za kiserikali chini yaWizara husika ziunganishe nguvu zaopamoja kupiga vita uharibifu wa misitu nakuhimiza upandaji miti na kuitunza iliyopoiweze kuimarika. Miongoni mwa taasisihizo ni zinazohusika na Maji, Mazingira,Ardhi na Utalii kushirikiana katika kupangautekelezaji wa mradi huu.Katika kuendeleza mradi huu ushirikianowa pamoja unahitajika baina ya Wizaraya <strong>Kilimo</strong> na Maliasili Zanzibar na Wizaraya Maliasili na Utalii ya Tanzania barakupitia Idara ya Misitu na Nyuki, Tanzaniaunahitajika ili kufanikisha mpango wautekelezaji wake.


UFUGAJI WA KUKU <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJINa Shauri HajiUfugaji wa kuku ni mradi ambaohufanywa na wanawake wengikaribu katika ki<strong>la</strong> nyumba hasavijijini kwa lengo <strong>la</strong> kupata nyamana mayai kwa ajili ya kitoweleo,kuimarisha afya za familia nakujiongezea kipato. Kuku ni<strong>la</strong>zima watunzwe vizuri ili watoemazao bora na kufi kia lengolililokusudiwa.Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni mojaya kazi zinazofanywa na kinamamaambao wameunda vikundi nakupatiwa taaluma za ufugaji borakupitia Programu za KuendelezaHuduma za <strong>Kilimo</strong> na Mifugo kwawakulima na wafugaji (ASSP/ASDP-L) ya Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasilihapa Zanzibar. Taaluma hizi zaufugaji zinawasadia wafugaji wavisiwa hivi ambao wengi wao niwanawake kuongeza uzalishaji,pato na kupunguza umasikini.Bi. Zeyana Ali Saidi mwenye umri wamiaka 50 ambae ni mkaazi wa kijijicha Taifu Wi<strong>la</strong>ya ya Wete Pemba,maarufu kwa jina <strong>la</strong> “Zeyana viponi”ni miongoni mwa wafugaji wa kukuwaliopatiwa mafunzo ya ufugajikupitia programu za ASSP/ASDP-L.Alisema; “Siku za nyuma ufugaji wakuku haukuwa na tija kutokana nakukosa taaluma ya ufugaji bora napia ulihitaji kutumia muda mwingiili kupata mafanikio”.Kuku wa kienyeji hukuwa vizuri na kutoa mazao mengi ikiwa watapatiwamatunzo boraMoja kati ya mambo anayojivunia nikutengeneza nyumba yake pamojana kuwasomesha watoto wakekutokana na mauzo ya kuku. Hivikaribuni aliuza kuku 80 ambao walimpatiajum<strong>la</strong> ya shilingi 400,000/=. Watu wengi wanafuga kuku<strong>la</strong>kini hawaelewi kanuni na miikoya ufugaji hivyo bi. Zeyana Ali Saidiyuko mstari wa mbele katika kuwafundishawafugaji wenzake kulishachaku<strong>la</strong> bora, kuweka usafi wamabanda ya kufugia kuku na vifaa,kuwapatia chanjo na matibabu vifarangana kuku ili kuzuia magonjwaya mripuko kama mahepe ambayoyanaua kuku wengi yanapotokea.Aidha, anasisitiza kuwa mfugajianapaswa kufanya usafi wa bandaki<strong>la</strong> baada ya siku mbili kwani usafihupunguza uwezekano wa kutokeakwa maradhi.Mbali na uuzaji wa kuku bi. Zeyanapia ana mpango wa kuuza vifarangakwa wafugaji wenzake ili kuimarishasoko <strong>la</strong> kuku wake. Hii itawezekanakwa kutumia mpango maalumuwa utagaji (Program hatching).Njia hii inamfanya kuku mmojakutaga mara nne kwa mwaka nakuzalisha zaidi ya vifaranga 48ambapo mfugaji anapata faidazaidi bada<strong>la</strong> ya njia ya kawaida yauzalishaji vifaranga 20 - 24 kwaufugaji usiozingatia utaa<strong>la</strong>mu.13Vifaranga vinavyototolewa kwampango maalumu wa utagajihuingizwa kwenye sanduku lenyeuwezo wa kuchukua vifaranga 200au zaidi na kulelewa kwa muda wasiku saba ambapo hutoa fursa kwamakoo waliototoa kukutana tenana majogoo baada ya muda mfupi.Njia nyengine ni kutumia koolinalokubali kulea vifaranga hatakama sio wa kwake mradi tu wawena umri unaolingana.Miongoni mwa changamotoanazokabiliana nazo ni pamoja nabei kubwa ya madawa na vyaku<strong>la</strong>.Ili kukabiliana na changanamotoya upatikanaji wa chaku<strong>la</strong>, wfugajiwanashauriwa kutumia vyaku<strong>la</strong>vinavyopatikana katika mazingirayao na kuchanganya wenyewemajumbani kwao kwa kutumiataaluma waliyapta katika mafunzo.


<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011Na Neema A. KhalfanMnazi una matumizi mengihapa visiwani na duniani kote,matumizi hayo ni kama madafu kwakinywaji, nazi kwa ajili ya kupata tui <strong>la</strong>kupikia na mbata kwa ajili mafuta yanazi, makumbi kwa ajili usumba nakamba, makuti hutengenezewa fagio,mapakacha na kuezekea majumba,kigogo cha mnazi pia hutumika kwambao, kuni na nguzo za kujengea napia una matumizi mengine mengi.MINAZI YA ASILITUHAMASISHANE KUPANDA MINAZI YA ASILIMnamo miaka ya 1970 zao <strong>la</strong> nazililikuwa na upungufu mkubwa ambapoki<strong>la</strong> mnazi ulitoa wastani wa nazi 23tu kwa mwaka bada<strong>la</strong> ya uzazi wakawaida wa nazi 40 kwa mwaka. Uzazihuo ni chini ya wastani wa kiwango chauzalishaji wa kawaida wa nazi 40 kwamwaka ambayo ilisababisha upungufumkubwa wa nazi kwa matumizi yamajumbani na viwandani.Utafi ti uliofanyika uligundua sababuza upungufu wa zao hilo ni kuzeekakwa minazi ya asili ambapo asilimia70 ya minazi ilikua ina umri zaidi yamiaka 100 na haikua na uzazi wenyetija, kuwepo kwa wadudu waharibifu,ukosefu wa mafunzo ya kilimo boracha minazi na uhaba wa ardhi kwa ajiliya utanuzi wa mashamba ya minazi.Kutokana na upungufu huo mnamomwaka 1979/1980 Serikali ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania ilianzishaMpango wa Taifa wa UendelezajiMinazi (NCDP).Wizara ya <strong>Kilimo</strong> Zanzibar nayo iliandaamikakati ya uhamasishaji wa upandajiminazi kwa kutoa mafunzo kwawakulima juu ya uchaguzi wa mbegubora, uoteshaji wa miche vitaluni,upimaji, ukaguzi wa mashambapamoja na usambazaji wa miche.Mpango huo ulifanikiwa kwa kufanyakampeni katika Wi<strong>la</strong>ya za Magharibi,Kaskazini A, Kaskazini B, Kati naKusini kwa Unguja sambamba nakuwapa wakulima ushauri, mafunzoya kupanda miche chini ya minazimikongwe na kuwashauri kutumiavipimo vinavyotakiwa (mita 10 kwa15) kutoka mnazi hadi mnazi bi<strong>la</strong> yakujali msongomano uliopo shambanimpando huu ulisaidia uendelezajiwa upatikanaji wa mavuno hukuikisubiriwa miche iendelee na ukuajiwake.Minazi iliyopandwa katika masafa yaliyopendekezwa na wataa<strong>la</strong>mu hurahisishapalizi, kutoa mavuno bora na kumpa fursa mkulima kuchanganya na mazao mengineJum<strong>la</strong> ya wakulima 250 walihudhuriakatika kampeni hiyo na wakulima 102walikaguliwa mashamba yao ambapomashamba 47 yalikaguliwa, 22 kipindicha Vuli na 25 Masika, wakulima20 walipimiwa mashamba yao nakupatiwa miche.Katika kipindi cha Vuli 2010 na Masika2011 Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasilikupitia vitengo vyake vya uzalishaji wamiche ya minazi imefanikiwa kuzalishana kuiuza kwa wakulima miche yaminazi ya asili 10,260.Upunguzaji wa Minazi MikongweWizara iliendelea na juhudi zakuwashajiisha wakulima kupunguzaminazi mikongwe katika mashambayao kwa kupanda minazi mipya chiniya minazi hiyo na baada ya miakamitatu ya ukuaji, walishauriwa kukataminazi mikongwe na kuondoa magogokwa lengo <strong>la</strong> kuzuia mazalia ya chonga.Aidha, wakulima walisisitizwa kuondoamagogo yote yaliyomo shambani nakuyatumia kwa kuchoma chokaa,kupasua mbao, kujengea daraja ndogondogo za kuvukia, vibao vya kukalia nakuni.Uchaguzi wa micheInashauriwa kuchagua miche iliyoborakwa ajili ya upandaji. Miche borahuwa na sifa ya kukua haraka nakutoa mazao bora. Miche bora ni ileambayo haikushambuliwa na wadudu14au magonjwa, yenye afya na majaniyake yasipungue sita (6) na yawe kijaniiliyokooza na imekaa kitaluni kwamuda usiopungua miezi tisa (9).Uchimbaji wa mashimoInashauriwa kuchimba mashimoyenye urefu, upana na kina chasentimita 60 (futi mbili), udongo wachini utenganishwe na wa juu ambaomara nyingi huwa na rutuba, baadaeuchanganywe na mbolea za kienyejikama vile samadi na mboji debe mojaau ndoo moja. mbolea hizi hupatikanakwa urahisi katika maeneo yetu.Upandaji wa micheWeka udongo wa juu uliochanganywana mbolea kiasi katika shimo, pandamche katikati ya shimo, endeleakufukia kwa udongo uliochanganywana mbolea na kumalizia na udogo wachini. Hakikisha unalishindilia vizurishimo <strong>la</strong>ko ili kuzuia mche kung’okakwa urahisi.Zao <strong>la</strong> nazi ni muhimu hapa Zanzibar,hivyo Wizara ya <strong>Kilimo</strong> na Maliasiliinaendelea kuielimisha na kuishajiishajamii kupanda minazi ya asili ili zao hililiwe endelevu kwa faida ya wananchina Taifa kwa ujum<strong>la</strong>.Kwa maelezo zaidi ya uchaguzi wamiche ya minazi na upandaji wasilianana mhudumu wa kitalu, muone bwana/bibishamba wako au mtaa<strong>la</strong>mu wakitengo cha minazi uliye karibu nae.


FAIDA ZA PESHENI <strong>Aprili</strong> - Juni, 2011FAIDA ZA KILIMO CHA MAPESHENINa Makame M. AbdulrahmanPesheni kwa jina <strong>la</strong> kitaa<strong>la</strong>mulinajulikana Passifl ora edulis ni zaolenye asili ya Marekani ya Kusini.Inasadikiwa kwamba pesheni lenyerangi ya manjano lilitokea katikamsitu wa Amazon (Brazil) mnamomiaka ya 1900. Hata hivyo zipotaarifa zinazothibitisha kwambakwa mara ya kwanza mmea huuulipandwa nchini Hawaii ukitokeaAustralia mnamo mwaka 1880.Zao hili ni muhimu katika kukuzabiashara na chaku<strong>la</strong> kwa kuwavutiawageni na watalii mahotelini.Pesheni ni zao linalolimwa sana hapaTanzania katika maeneo ya Zanzibar,Morogoro, Dar es Sa<strong>la</strong>am, Tanga,Kigoma, Mbeya, Kilimanjaro, Arushana Mkoa wa Pwani. Hapa Zanzibarmmea huu umeanza kuingia katikamiaka ya 80 na kupata umaarufuzaidi katika miaka ya 90. Wastaniwa uzalishaji kwa Tanzania ni tani1,080 kwa mwaka sawa na asilimia0.1 ya uzalishaji wa matunda yotenchini. Kwa kawaida, mapesheniyana virutubisho bora kwa afya yabinadamu vikiwemo nguvu kilokalori60, sukari gramu 9.1, vitamini A IU241, vitamini C miligramu 64.7 namaji gramu 84.2 kwa ki<strong>la</strong> gramu100.Mavuno mengi ya zao <strong>la</strong> peshenihupatikana iwapo kanuni za kilimobora zitatekelezwa kwa kuchaguaaina bora ya miche ya kupandakulingana na mahitaji ya soko,kudhibiti wadudu waharibifu namagonjwa, kuondoa magugu nakukagua shamba mara kwa maraiwapo kuna dalili za mashambuliziili yaweze kudhibitiwa mapema ilikupata mazao mengi na bora. Palizini muhimu ili mimea iweze kutumiavirutubisho kwa ukamilifu.Mpesheni ni mmea unaokua kwakutambaa hivyo katika ukuaji wakeni muhimu kuweka miti ili uwezekutambaa juu yake. Uwekaji wa mitihurahisisha kuhudumia wakati wakupalilia na kuvuna. Aidha, ukaguziwa shamba hufanywa ili kuonaPesheni hutengenezwa juisi ambayo hutumika kama kiburudishaji wakati wachaku<strong>la</strong>kama matunda yamekomaa. Kwakawaida mapesheni hukomaa baadaya miezi miwili hadi mitatu baada yamaua kuchanua. Dalili za mapesheniyaliyokomaa ni kubadilika rangikutoka kijani kuwa manjano auzambarau kutegemea na ainaya pesheni ambapo hung’ara nakunukia. Kab<strong>la</strong> ya kuvuna ni vizurikusafi sha shamba na kuondoamagugu chini ya mimea kurahisishauvunaji na uokotaji wa matunda.Pia inatakiwa kuandaa vifaa vyakubebea kama pakacha, masusu,ndoo, vikapu na vipolo.Njia bora ya kuvuna mapesheni nikutumia mikono ambapo matundahuokotwa baada ya kudondokayenyewe kutoka kwenye mti, matundayakichumwa yanapokuwa katikammea hushuka ubora wake, husinyaaau huoza yanapovumbikwa.Matunda yaokotwe mara mbili kwasiku ili kuepuka kubabuka kwajua, kuliwa na wadudu na ndege.Matunda yaliyovunwa yawekwekwenye vifaa na kuhifadhiwa kivulinikab<strong>la</strong> ya kupelekwa sokoni.Kab<strong>la</strong> ya kupeleka sokoni mapeshenihuchaguliwa ili kuyaondoa yaliyoozana yaliyoharibika. wakati wakuchagua ni muhimu kuondoa15mapesheni yaliyooza na yenyewadudu yafukiwe ili kudhibiti kueneakwa wadudu waharibifu na vimeleavya magonjwa. Aidha, matundayaliyopasuka, kubonyea, kusinyaana kuchubuka yatumiwe harakana mazuri yaliyobaki yatumike kwakusindikwa na kuuzwa.Mapesheni yahifadhiwe sehemuyenye baridi ya nyuzi joto 5 hadi 13za sentigredi na unyevu wa asilimia80 hadi 90 na huweza kukaa kwamuda wa wiki tatu hadi nne bi<strong>la</strong>kuharibika.Namna ya kutayarisha JuisiNjia nzuri ya kutayarisha juisi yapesheni ni kuchagua matundayaliyoiva na kuyasafi sha kwenyemaji safi na sa<strong>la</strong>ma, kata matundana ondoa maganda ya nje, sagapamoja na mbegu za tunda, chujakwa kutumia kitambaa au chujiosafi na weka juisi kwenye chupasafi . Acha nafasi ya milimita 5kutoka kingo ya mdomo wa chupana funika kwa vifuniko imara nasafi na ihifadhi kwenye sehemubaridi tayari kwa kutumia. Juisi yamapesheni iliyotengenezwa kwa njiahii huhifadhika kwa miezi sita bi<strong>la</strong>kuharibika.


Toleo <strong>la</strong> Sita<strong>Aprili</strong> - Juni, 2011MCHANGO WA MFUKO WA MAENDELEO YAJAMII (TASAF) KATIKA SEKTA YA KILIMONa Shaaban AbdulmalikMfuko wa Maendeleo ya Jamiiawamu ya Pili (TASAF II) ulianzakazi mwaka 2006, kwa kuhamasishana kutoa elimu kwa Jamii kuhusumadhumuni ya Mfuko huo na majukumuya ki<strong>la</strong> mdau katika utekelezaji wake,ambapo Visiwa vya Unguja na Pembavinaendelea kunufaika na mfuko huo.TASAF II ina jukumu <strong>la</strong> kusaidia jamiimasikini katika kuongeza upatikanajiwa matumizi ya huduma za msingi zajamii ili kufi kia malengo ya Milenia nakuziwezesha jamii kutumia fursa zilizopokuomba, kutekeleza na kusimamiamiradi yao watakayoichangua ili kuinuahali zao za maisha na hatimae kufi kialengo <strong>la</strong> Mpango Mkuu wa KupunguzaUmasikini.Katika kutekeleza mkakati wa Taifawa kupunguza umasikini nchini, Sektaya kilimo kupitia TASAF II imepewakipaumbele, hivyo iliweza kutekelezajum<strong>la</strong> ya miradi 27 ambayo ilikuwa nathamani ya shilingi 660,012,552/=.Kutokana na mabadiliko ya hali yahewa kunakosababisha kilimo chakutegemea mvua kuwa si cha uhakika,nguvu kubwa za utekelezaji zilielekezwakatika kilimo cha umwagiliaji majiambacho ni mkombozi kutokana nahali hiyo.Aidha katika utekelezaji wamiradi hiyo maeneo ya Bonde <strong>la</strong>Bumbwisudi nambari tano, Uzini naMgenihaji, Mchangani, Kianga naCheju kulianzishwa miundombinuya kumwagilia maji mpunga. Eneo <strong>la</strong>Kitogani, Kijini Makunduchi, Mzuri,Jendele, Dunga, Mpapa, Matetemana Zingwezingwe kumeanzishwamiundombinu ya umwagiliaji majikwa njia ya matone katika kilimo chambogamboga.Miradi mingine ya uhifadhi wa mazingirana upandaji wa miti imetekelezwa katikaKatibu Mkuu, Afi si ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Khalid S. Mohamedanaechimba mtaro akizindua mradi wa miundombinu ya umwaguliaji maji Bumbwisudimaeneo ya Kianga, Kikobweni, Kandwina Matemwe. Kazi ya utekelezaji wamiradi katika maeneo haya ilinufaishazaidi ya wakulima 1000.Uhamasishaji na upelekaji wa fedha kwajamii kwa ajili ya utekelezaji wa miradi,mafunzo ya usimamizi wa miradi,uwekaji wa kumbukumbu, utunzaji wafedha, mipango ya biashara na kuwekana kuwekeza yalifanyika kwa jamii.Mafunzo hayo yamenufaisha Shehia172 za kisiwa hiki, ni mategemeoyetu kuwa yataifaidisha Jamii katikautekelezaji wa miradi yao ya maendeleokwa sasa na baadae, Pia mashirikianobaina ya TASAF na mradi wa kuimarishahuduma za <strong>Kilimo</strong> yameimarisha zaidiya vikundi 200 vya Skuli za wakulimaUnguja.Katika usimamizi na utekelezaji wakazi za miradi ya jamii, ni vyemakuwepo kwa wataa<strong>la</strong>mu mahiri wakusimamia miradi, iandaliwe mapemana kwa uhakika ili itoe matunda bora.Kuhakikisha tathmini zimefanywa vizurikuhusu kuwepo kwa wachangiaji namichango inapatikana kwa wakati.Uratibu na mashirikiano kwa programuzinazofanana au miradi inayohitajiwataa<strong>la</strong>mu kutoka sekta tofauti ni jambomuhimu sana. Hata hivyo, changamotokubwa baada ya wananchi kufurahiautaratibu shirikishi wa utekelezaji waMiradi ya TASAF na matunda yakekumeonekana ni kwamba tunawezakutanua wigo na kuudumisha mpangohuu.Kumalizika kwa kazi ya upelekaji wafedha za utekelezaji wa miradi kwawanajamii, hakujabadilisha majukumuya msingi ya Halmashauri zetu, Sektana Taasisi husika katika kusimamiamwenendo wa miradi hiyo kitaa<strong>la</strong>mu,kisiasa na kiuchumi na kuhakikishauendelevu wake. Ili kufi kia mikakatituliyojiwekea ya kupunguza umasikinitunahakikisha kuwa fedha za mkopozilizotolewa zinaleta manufaa kwawananchi na nchi yetu.GAZETI HILI HUTOLEWA KILA BAADA YA MIEZI MITATU NAWIZARA YA KILIMO NA MALIASILI - ZANZIBARP. O. Box 159 Zanzibar, Simu: +255 24 2230986, Fax: +255 24 2234650Barua pepe: kilimo@zanlink.com, Tovuti: www.kilimoznz.or.tz

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!